Sherehekea Jubilee ya Miaka 75 ya TAG Live

Sherehekea Jubilei ya miaka 75 ya TAG  Live!

Tukio la kihistori la maadhimisho ya miaka 75 ya kanisa la TAG litakalo ambatana na Mkutano wa Injili wa Kimataifa Utakaohubiriwa na Rev Johannes Amritzer - Sweeden, litaoneshwa  moja kwa moja (Live) kutoka uwanja wa Sokoine Mbeya, na vituo vya Television ATN na Fire TV,  Julai 13 mwaka huu 2014
Ni tukio la aina yake litakalokusanya wageni  zaidi ya 10,000 kutoka mataifa mbali mbali. Wakiongozwa na Mgeni rasmi  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Mwenyekiti wa makanisa ya Assemblies of God (AG) Duniani, Dk. George Wood, na maaskofu kutoka mataifa mbali mbali.
Wasioweza Kufika Mbeya wanaweza kuungana na Maelfu ya wenzao uwanjani wakiwa Makanisani, Section, Jimbo au hata sebuleni kwao Kushuhudia tukio hilo.
Usichelewe!  Nunua King’amuzi chako cha TING (Tanzania Integrated Network Group), sasa kutoka katika vituo vya mauzo vilivyotajwa hapo chini kabla havijaisha maana vimebaki vichache.
Kumbuka king’amuzi hiki ni cha teknolojia ya kisasa zaidi ya  vyote High Definition Quality  (HD) Inayokupa nafasi ya kurekodi vipindi ukaangalia baadaye.
 
GHARAMA: Kunaving'amuzi aina mbili
  • King’amuzi cha antenna za Kawaida, kitakachokupa mtandao makini katika mikoa ya: Dar,  Arusha, Dodoma, Mbeya, Sumbawanga, Mwanza, Kigoma, na  Tanga. (Coming soon to Songea)  Bei yake ni Tsh 76,000/ + Miezi 2 ya kwanza kutumia bure 
  • Kingamuzi cha TING kinachotumia  Satellite bila chenga wala mikwaruzo Kinakupa zaidi ya chanel 100 Kinaonekana bara zima la Afrika.
    Bei yake ni Tsh: 176,000 TU + Miezi 2 ya kwanza kutumia bure

    Uongozi wa TAG makao makuu unawahimiza wakristo wote wa TAG, makanisa  na wote wenye mapenzi mema kununua ving’amuzi hivyo ili kushuhudia moja kwa moja tukio hilo la kihistoria.
Unaweza kupata king’amuzi chako katika vituo vya:
Makao makuu ATN ,  Mbezi Beach: 0653/0767/0684 999 230
Mwenge: 0659 970 860
Temeke: 0659 970 865
Victoria: 0659 970 861
Tabata: 0715 572 825
Mbezi Kimara: 0716 145 556
Arusha: 0658 387 036
Dodoma: 0658 387 024
Mwanza: 0658 387 021
Mbeya: 0658 387 039
Tanga: 0658 387 034
Kigoma: 0752 512 300
mawakala:
Dar es Salaam:
Maranatha: 0754 204 098
Bale Investment: 0713 799 382
Kumbe Traders Ukonga: 0657 544 954
Rich Electronics Mbagala: 0652 446 790
Kibaha Maili Moja: 0766 666 999
Mmas Kariako 0755 867 758
Nesto Sinza: 0758 053 723
Arusha Agents:
Mwanga Shop: 0754 822 313
CCM Mkoa: 0754 373 380
Mbeya s:
Genesis Electronics: 0655 493 874
Kisimpya S. Power: 0755 149 216
Maranatha: 0768 340 047
Dodoma s:
City Boys: 0715 816 313
Sumbawanga : 
Stendikuuu: 0754 822 313
Mwanza:  Electronics Mwanza Mjini
Bukoba: 0754 306 497
Morogoro: 0713 978 597
Tabora: 0786 409 456
Singida: 0759 330 859
Shinyanga: 0713 377 398
Iringa: 0757 800 210
Katavi: 0655 530 020
Sumbawanga: 0767 907 795
Songea: 0717 084 799
Usisubiri majuto nunua sasa king’amuzi chako
Sherehekea Jubilee ya Miaka 75 ya TAG Live Sherehekea Jubilee ya Miaka 75 ya TAG Live Reviewed by Unknown on 3:53 PM Rating: 5

No comments:

ads
Powered by Blogger.